Thursday 14 May 2015

HAPA NA PALE KWAAJILI YA VIJANA,TANZANIA NA ULIMWENGUNI KOTE

Kama vijana wakatoliki, tunaalikwa kuinjilisha kila siku katika mazingira yetu na mazingira yoyote ambayo tunaombwa kufanya hivyo. Vijana ni marafiki wa Kristu. Picha zifuatazo zitaonesha matukio mbalimbali ya kazi zetu na vijana Ulimwenguni na hapa nchini
Angela and Vincenzia visiting a Franciscan Friary at Kilomeni - Kilimanjaro

These are'nt old people hahhahha they are just young people of Kimara Parish Staging for Christmas Play on Christmas Eve last year.

Vincenzia with Brother Naaman, Brother Prosper and other Capuchins at Kilomeni

Diocesan Youths' Mass at Loyola Secondary School; Vincenzia, Anna and Paul

Youths from all over the world at Vatican Metro Station during the First International Meeting of Young Catholic for Social Justice

Giving hands at all times. Some of the diocesan youths during the mourning of  one of our friend's child - At Sacred Heart Parish, Manzese

Vincenzia, Fr. Shemfumbwa and friend during the Interreliggious conference in Dar es Salaam.

Guess what? We met Pope Francis....Volunteers at Rio de Janeiro, Brazil during the World Youth Day

Tulipomaliza kutengeneza filamu yetu ya salamu za Noeli kwa Papa Francis. Hawa ni vijana wa  Parokia ya Maria Mtakatifu- Kimara



Vincenzia na vijana wa Parokia ya Lugoba

Kwaya ya vijana wa Parokia ya Maria Mtakatifu - Kimara wakiwa mazoeini

Na marafiki tukiwa ndani ya Basilika la Mt. Petro, Vatican

Tukimfariji kijana mwenzetu kutoka kundi la Waumini Wakatoliki La Facebook

Vijana wakisikiliza semina kuhusu  "Vijana na Matumizi ya mitandao"

Vincenzia  akitoa semina kwa vijana kuhusu  "Vijana na Matumizi ya mitandao"

Vijana wakiwa katika makundi wakijadili juu bya mada ya   "Vijana na Matumizi ya mitandao"

Add capVijana wakiwa katika makundi wakijadili juu bya mada ya   "Vijana na Matumizi ya mitandao"tion

Vijana wakiwa katika makundi wakijadili juu bya mada ya   "Vijana na Matumizi ya mitandao"

Vijana wakiwa katika makundi wakijadili juu bya mada ya   "Vijana na Matumizi ya mitandao"

Vincenzia akiwawakilisha vijana katika Plenary ya maaskofu alipotoa maada kuhusu Vijana na uinjilishaji mpya

Getrude, Angela na Vincenzia walipomtembelea mgonjwa kuwakilisha vijana wa mitandaoni katika kueneza upendo

Vincenzia akikabidhi kiasi kidogocha fedha kilichotolewa kwa upendo mkubwa na marafiki wa Kristu waliomo katika mitandao ya Kijamii

Rafiki Kristu huwa tayari kujitolea wakati wowote.

Vincenzia kama Volunteer wa Kimataifa wakati wa JMJ huko Rio

Getrude na mgonjwa wetu rafiki

Catrece Abdallah na Vincenzia mbele ya Kanisa huko Madrid wakati wa JMJ

Training on mapping religious conflicts organised by CatholicRelief Service (CRS)


Kuwa mmoja wetu, kuwa rafiki wa Kristu jifunze mambo mengi kuhusu wewe na jinsi unavyoweza kumtangaza Kristu.


Katika upendo wa Kristu,


Vincenzia

No comments:

Post a Comment