Caritas -maana yake Upendo, ni shirika la kanisa katoliki linalosaidia maskini, watu waliotengwa na watu wenye matatizo bila kujali imani ya mtu, wala utaifa. Pia linashunghulikia kukuza upendo na haki duniani.
Kardinai Tagle na Papa Francis |
Vijana wa IOYC -Afrika wanapenda kumtakia Kardinali Tagle nguvu na upendo katika kuliongoza shirika hili la kikatoliki duniani.
Katika Upendo wa Kristu,
Vincenzia- Marie, IOYC - Africa!
No comments:
Post a Comment