Caritas -maana yake Upendo, ni shirika la kanisa katoliki linalosaidia maskini, watu waliotengwa na watu wenye matatizo bila kujali imani ya mtu, wala utaifa. Pia linashunghulikia kukuza upendo na haki duniani.
![]() |
Kardinai Tagle na Papa Francis |
Vijana wa IOYC -Afrika wanapenda kumtakia Kardinali Tagle nguvu na upendo katika kuliongoza shirika hili la kikatoliki duniani.
Katika Upendo wa Kristu,
Vincenzia- Marie, IOYC - Africa!
No comments:
Post a Comment